MAAFISA WAKUU WENYE VYEO VYA MEJA NA KANALI WA NCHI ZA SADC PAMOJA NA EAC WAPANDISHWA VYEO
Picha ikionyesha ikonyesha maofisa wakuu 42 wenye vyeo vya meja hadi
kanali wa nchi za ukanda wa afrika mashariki EAC na nchi za jumuiya ya
maendeleo kusini mwa afrika SADC wakiwa katika picha ya pamoja na waziri
wa ulinzi pamoja na viongozi mbalimbali wa jeshi katika picha ya pamoja
mara baada ya kuhitimu mafunzo ya unadhimu katika chuo cha ukamanda na
unadhimu csc arusha
Picha ikionyesha waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa shamsi Vuai
Nahodha akiwa anawatunuku nadaraja maofisa waliomaliza mafunzo yao
kwenye chuo cha ukamanda unadhimu CSC
Bendi ya jeshi la kujenga taifa ikitumbuiza katika sherehe hizo
Wahitimu wa kiwa wanaimba wimbo wa taifa




0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia