MAAFISA WAKUU WENYE VYEO VYA MEJA NA KANALI WA NCHI ZA SADC PAMOJA NA EAC WAPANDISHWA VYEO


 Picha ikionyesha ikonyesha maofisa wakuu 42 wenye vyeo vya meja hadi kanali wa nchi za ukanda wa afrika mashariki EAC na nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika SADC wakiwa katika picha ya pamoja na waziri wa ulinzi pamoja na viongozi mbalimbali wa jeshi katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimu mafunzo ya unadhimu katika chuo cha ukamanda na unadhimu csc arusha
Picha ikionyesha waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa shamsi Vuai Nahodha  akiwa anawatunuku nadaraja maofisa waliomaliza mafunzo yao kwenye chuo cha ukamanda unadhimu CSC
 
 Bendi ya jeshi la kujenga taifa ikitumbuiza katika sherehe hizo
Wahitimu wa kiwa wanaimba wimbo wa taifa
 

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post