BABA ANAESADIKIWA KUMPA MIMBA MWANAE WAKUMZAA AFIKISHWA MAHAKAMANI JIJINI MBEYA...!!!
| Bwana Yussuf Hamad anaetuhumiwa kuzaa na bintie akitaka kumpokonya kamera mwandishi wa gazeti la majira Rashid Mkwinda ili asimpige picha |
| Jamaa kuona amezidiwa akaamua kujifunika na shati lake huku akitoa maneno makali kuwa nyie waandishi mmekosa cha kuandika mmeona hii ndiyo habari hakuna habari nyingine? alihoji mtuhumiwa huyo |
| Huyoooo anatoka nje ya mahakama |
| Sasa anavaa kofia yake ili watu wasimtambue huku akisema nifuateni niwaonyeshe kazi |
| Njooni sasa huku kashika jiwe |
| Kuona anazidi kufuatwa akaamua kuondoka mahali hapo huku akiwa na jiwe lake mkononi |

0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia