WAKUTANA KUPANGA MPANGO KAZI WA BUNGE LA EAST AFRICAN

 spika wa bunge la Afrika ya mashariki bi Magreti Nzziwa Nantongo akiwa kwenye semina ya siku mbili ya kuandaa mpango kazi wa mwaka 2012-13 ya bunge la Afrika ya mashariki kwenye Hoteli ya East African hotel jijini



Mbunge wa bunge la afrika mashariki Shyrose Bhanji Akipitia kwa makini makabrasha ya semina ya mpango kazi wa bunge la afrika ya mashariki leo jijini arusha

Wabunge wa( Eala)wakiwa kwenye semina ya siku mbili ya kuwajengea uwezo na kuanda mpango kazi wa mwaka 2013 kwenye hotel ya East African jijini Arusha pichani ni mwakilishi na mbunge wa bunge hilo shyrose Bhanji wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa semina hiyo

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia