MANSOUR HIMID AJIUNGA RASMI CUF, ZANZIBAR
Katibu
Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akimpongeza Mhe. Mansour Yussuf
Himid baada ya kuamua kujiunga na chama hicho na kumkabidhi rasmi kadi
ya CUF katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini Unguja.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia