NASSARI AWAPA DARASAWENYEVITI WAPYA WA MITAA

IMG_0088
IMG_0071
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari akizungumza na wenyeviti wapya wa mtaa pamoja na wajumbe waliochaguliwa kwa tiketi ya CHADEMA katika Wilaya ya Arumeru Mashariki katika semina iliyoandaliwa na Mbunge huyo ya kuwahamasisha kuwatumikia wananchi ilifanyika katika ukumbi wa Usariver Academy leo.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia