TANGAZO KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA
KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA
Tunawatangazia wananchi wote
waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR
katika mikoa ya:-
NJOMBE, IRINGA, MTWARA, LINDI, RUVUMA, KATAVI, RUKWA, MBEYA, DODOMA,
SINGIDA, TABORA, KIGOMA NA KAGERA
Kujitokeza ili
KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LAKUDUMU LA MPIGA KURA
Ambalo lipo katika vituo
walipojiandikishia,
Kuanzia tarehe 01 Agosti 2015,
Kuanzia saa mbili (2:00) asubuhi mpaka saa kumi na mbili (12:00) jioni.
Mashine itakuwepo kituoni kwa
ajili ya kusahihisha makosa yaliyojitokeza wakati wa kujiandikisha.
Tangazo
hili limetolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia