TANGAZO KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA


KUHAKIKI TAARIFA ZAO  KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

Tunawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR katika mikoa ya:-

NJOMBE, IRINGA,  MTWARA, LINDI,  RUVUMA, KATAVI, RUKWA, MBEYA, DODOMA, SINGIDA, TABORA, KIGOMA NA KAGERA
Kujitokeza ili
KUHAKIKI TAARIFA ZAO  KATIKA DAFTARI LAKUDUMU LA MPIGA KURA
Ambalo lipo katika vituo walipojiandikishia,
Kuanzia tarehe 01 Agosti 2015, Kuanzia saa mbili (2:00) asubuhi mpaka saa kumi na mbili (12:00)  jioni.

Mashine itakuwepo kituoni kwa ajili ya kusahihisha makosa yaliyojitokeza wakati wa kujiandikisha.
 Inline image 1Inline image 2
 
Tangazo hili limetolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia