Ticker

6/recent/ticker-posts

FM ACADEMIA (WAZEE WA GWASUMA HAOOOOOOOOO TENA JIJINI ARUSHA NI USIKU WA APRILI 26 PALE PALE TRIPLE A USIKOSEE NI BALAAAAAAAA



Bendi ya FM Academia ikiwa chini ya kiongozi wao Nyoshi el Sadati wanatarajia kuwapa wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake  Burudani ya kufa mtu April 26 ndani ya ukumbi wa Triple A uliopo jijini hapa

Bendi hii ambayo  nikipenzi kikubwa cha watu wa mkoa wa Arusha imekuwa ikifanya vizuri na wakazi wa mkoa wa Arusha na vitongoji vyake wamekuwa wakii miss kwa kipindi cha mda mrefu

Viingilio vya shoo hii ya wazee wa gwasuma kinatarajiwa kuwa 10000 kwa huku VIP wakitakiwa kulipa shilingi elfu 20000

Nyote nakaribishwa msikose katika shoo hii ya kufa mtu ambapo bendi hii itatambulisha nyimbo yao mpya

Post a Comment

0 Comments