SKYLIGHT WAACHA GUMZO : WAKAZI WA MWANZA WAOMBA AWAMU NYINGINE.

Vijana wa Skylight Band Kutoka kushoto ni Sam Mapenzi, Joniko Flower na Sony Masamba wakijitambulisha  kwa mashabiki wa Band hiyo kwa staili ya aina yake  jijini Mwanza katika ukumbi wa Villa Park Resort Jumatatu ya Pasaka.
 Shilole akimtunza  pesa taslim shilingi Laki mbili Meneja wa Bendi ya Skylight Aneth Kushaba AK47 kwa niaba ya Villa Park Resort ya jijini Mwanza kwa kufurahishwa na kazi nzuri ya Bendi hiyo.


Vijana wa Skylight Band Kutoka kushoto ni Sam Mapenzi, Joniko Flower na Sony Masamba wakijitambulisha  kwa mashabiki wa Band hiyo kwa staili ya aina yake  jijini Mwanza katika ukumbi wa Villa Park Resort Jumatatu ya Pasaka.

SAM MAPENZI:...I'm here alone, didn't wanna leave My heart won't move, it's incomplete Wish there was a way that I can make you understand.  ........ANETH KUSHABA AK47: .....But how do you expect me to live alone with just me 'Cause my world revolves around you It's so hard for me to breathe. On Action.














 































Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post