JAMANI HATA WAZUNGU WAKIJA NCHINI KWETU WANAJISHULISHA NA KAZI MBALIMBALI

Wazungu hawa walikutwa na kamera ya libeneke la kaskazini wakiwa wanaenda kuteka maji katika kijiji cha kiranyi kilichopo katika kata ya kiranyi wilaya ya Arumeru  mkoani Arusha

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia