Ticker

6/recent/ticker-posts

KUCHEKA NI AFYA JAMANI! LAKINI KILA AONYESHAE MENO ANACHEKA???





Ras Makunja na kicheko chake ...!

Wataalamu wa mambo ya afya wanasema kucheka ni afya! sijui kama kweli au lah?

Nchini india kuna  vilabu vya kufanya mazoezi ya kucheka,pia katika  nchi nyingi kuna  wasanii wachekeshaji (Comedy)wanaofanya vituko kuwawezesha wanadamu wengine wacheke,inamaana kucheka ni tiba ya kuondoa fikira mbaya katika nafsi au? na wasanii wetu wa vichekesho nao ni madaktari.



 Lakini tunajiuliza hivi kila anaeonyesha meno anacheka au? kama kamanda Ras Makunja wetu (pichani) juzi juzi alikua studio kupika nyimbo akafumwa akicheka sana sana kiasi ya watu waliokuapo pale walikua wakijiuliza hivi kicheko cha kamanda meno nje! ni kicheko kweli au ? tukae mkao wa kula kusikia ujio wa vitu vipya kwa siku za usoni.

lakini acha tuendelee kupata raha

Post a Comment

0 Comments