Ticker

6/recent/ticker-posts

BREKING NEWZZZZZZZZZZZZZZZZ BI KIDUDE AFARIKI DUNIA

.
Picha hii ni kwa hisani ya Marcel Mutsaers aliyompiga Bi.Kidude wakati wa Tamasha lijulikanalo kama Festival Mundial kule Tilburg-Uholanzi mwezi June mwaka 2006.

kwaa habari zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa aliyekuwa mwimbaji mkongwe mashuhuri  wa muziki wa Taarabu alimaarufu KIDUDE BINT BARAKA kwa ( Bi kidude) amefariki dunia kwa habari zaidi endelea kufatilia katika blog yako ya libeneke la kaskazini




Post a Comment

0 Comments