UCHAGUZI WA KATA NNE ZA JIJI LA ARUSHA KUFANYIKA KESHO

Imebakia masaa machache uchaguzi wa kata nne za jiji la Arusha kufanyika ndugu mwananchi unashauriwa na unakumbushwa kunda kuchagua diwani unae mtaka 

kata zinazofanya uchaguzi ni pamoja na Kaloleni,Themi,Kimandolu pamoja na Elerai usiaache kwenda kupiga kura ,kupiga kura ni haki ya kila mtanzania

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia