CHEKI MTAA YA JIJI LA ARUSHA NAKUMBI ZA STAREHE

 hii ni barabara kuu ya mabasi yanayo ingia mjini na barabara hii ipo karibu kabisa na uwanja wa Sheikh Amri Abeid


 enzi hizo  barabara ya jiji la Arusha

hii ndo klabu bomba kuliko zote jijini Arusha ina sifa za kila aina ikiwemo kumbi kubwa za disco pamoja na kumbi za kufanyia sherehe

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post