hii ni barabara kuu ya mabasi yanayo ingia mjini na barabara hii ipo karibu kabisa na uwanja wa Sheikh Amri Abeid
enzi hizo barabara ya jiji la Arusha
hii ndo klabu bomba kuliko zote jijini Arusha ina sifa za kila aina ikiwemo kumbi kubwa za disco pamoja na kumbi za kufanyia sherehe
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia