WAKAZI WA ARUSHA WAPATIWA HUDUMA YA KUSIKIA, NI MSAADA KUTOKA KWA SHIRIKA LA HEARING FOUNDATION LA MAREKANI

Wakazi wa Arusha wakisubiri kupimwa masikio na kupatiwa kifaa cha kuwasaidia kusikia

Madaktari kutoka Hearing Foundation wakimwekea mtoto kifaa cha kusikia

Kiongozi wa madaktari hao akitoa maelekezo ya kazi kwa vijana alioongozana nao kwa ajili ya kusaidia zoezi la utoaji wa huduma hiyo katika hospitali ya Seliani jijini Arusha

Akiendelea kutoa maelekezo muhimu

Mmoja wa wagonjwa akiwekewa kifaa cha kusikilizia

mchezaji bora wa mchezo wa rugby nchini Marekani akimpatia mtoto aliyekwisha patiwa kifaa cha kumsaidia kusikia fulana kama zawadi

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia