Askari wa Jwtz wakiwa wamebeba moja ya jeneza
la mwili waaskari wa 3 wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji wakivuka mto Lamada, Sudani walikokwenda
kulinda amani chini ya jeshi la umoja wa Mataifa muda mfupi kabla ya kuiaga
mili hiyo Lugalo jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Majeshi nchini Devis Mwamunyange akitoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu
Katibu mkuu wizara ya ulinzi akitoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu
Mkuuwa
Majeshi nchini Devis Mwamunyange akifariji mke wa moja wa askari walifariki Bi,
Fatuma Chunguile
Askari wa JWT wakiingiza miili ya marehemu
katika Gari tayari kwa safari ya kuelekea mikoani kwa ajili ya Mazishi
Mkuu wa Majeshi nchini Devis Mwamunyange akiongea na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kutoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu
Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
(1.) Sajenti Shaibu Othuman,
(2.) Koplo Oswald Chaula,
(3.) Koplo Mohamed Juma,
(4.) Koplo Mohamed Chikilizo,
(5.) Pte. Rodney Ndunguru,
(6.) Pte. Peter Werema,
(7.)Pte. Fortunatus msofe
(1.) Sajenti Shaibu Othuman,
(2.) Koplo Oswald Chaula,
(3.) Koplo Mohamed Juma,
(4.) Koplo Mohamed Chikilizo,
(5.) Pte. Rodney Ndunguru,
(6.) Pte. Peter Werema,
(7.)Pte. Fortunatus msofe