YINGLUCK SHINAWATRA AMBAYE NI WAZIRI MKUU WA THAILAND AWASILI NCHINI TANZANIA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini. 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgeni wake Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra wakipokea heshima.
Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra akikagua gwaride.
 
Serikali waliofika kumlaki mgeni huyo. 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgeni wake Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra wakiangalia burudani ya ngoma.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgeni wake Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra.
Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra akisalimiana na baadhi ya raia wa Thailkand wanaoishi nchini alipowasili katika hoteli ya Kilimanjaro Regency Hyatt jijini Dar es salaam leo Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuonesha mandhari ya bandari ya salama Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra alipowasili jijini Dar es salaam leo Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiingia Ikulu nwa mgeni wake Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinawatra alipowasili leo Julai 30, 2013 kwa ziara rasmi ya siku tatu nchini.
  PICHA  KWA HISANI YA IKULU

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia