Lwakatare sasa ahamishiwa Moi Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Ulinzi
na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare aliyekuwa amelazwa katika
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH),amehamishiwa katika Kitengo cha
Taasisi ya Mifupa(Moi) baada ya kutolewa katika wodi ya Sewahaji ambayo
alilazwa awali kwa ajili ya uchunguzi. Lwakatare ambaye anasumbuliwa na
maumivu ya shingo yaliyosababishwa na kusagika kwa pingili mbili za
shingo alifika hospitalini hapo Jumanne ya wiki hii, baada ya kuzidiwa
na maumivu usiku wa kuamkia siku hiyo. Akizungumza wodini hapo jana
alisema alikuwa anasubiri ripoti ya madaktari ambao walikaa kikao cha
kujadili tatizo lake na jinsi ya kulitatua hatua za awali
zilizochukuliwa na kikao hicho ni kuhamishiwa kitengo cha mifupa Moi.
“Walivyokuja asubuhi(jana) baada ya kikao walinihamisha wamenileta huku
na nimekabidhiwa daktari ambaye amepewa aniangalie na nimekabidhiwa
namba yake hapa niwasiliane naye ndiyo nitajua nini kitaendelea
huku,”alisema Lwakatare. Alisema kwa sasa bado anasikia maumivu kwa
mbali japokuwa amefungwa kifaa maalumu cha kuifanya shingo inyooke na
kuzuia isichezecheze. Katika uchunguzi uliofanywa juzi na madaktari
ulionyesha kuwa hakuna njia zaidi yakuweza kumsaidia kupunguza maumivu
hayo kama hatofanyiwa upasuaji wa kurekebisha pingili hizo. “Hakuna kitu
naogopa kama operesheni wakati ule ilikuwa pingili ya sita na ya saba
ila sasa ni ya tatu na ya nne na nilishindwa kufanyiwa operesheni
kipindi hicho kwa sababu niliona nikifanyiwa operesheni itanilaza na
nitapoteza muda ila kwa sasa sina jinsi,”pingili mbili za shingo alifika
hospitalini hapo Jumanne ya wiki hii, baada ya kuzidiwa na maumivu
usiku wa kuamkia siku hiyoAkizungumza wodini hapo jana alisema alikuwa
anasubiri ripoti ya madaktari ambao walikaa kikao cha kujadili tatizo
lake na jinsi ya kulitatua hatua za awali zilizochukuliwa na kikao hicho
ni kuhamishiwa kitengo cha mifupa Moi“Walivyokuja asubuhi(jana) baada
ya kikao walinihamisha wamenileta huku na nimekabidhiwa daktari ambaye
amepewa aniangalie na nimekabidhiwa namba yake hapa niwasiliane naye
ndiyo nitajua nini kitaendelea huku,”alisema Lwakatare.Alisema kwa sasa
bado anasikia maumivu kwa mbali japokuwa amefungwa kifaa maalumu cha
kuifanya shingo inyooke na kuzuia isichezecheze.Katika uchunguzi
uliofanywa juzi na madaktari ulionyesha kuwa hakuna njia zaidi yakuweza
kumsaidia kupunguza maumivu hayo kama hatofanyiwa upasuaji wa
kurekebisha pingili hizo.
“Hakuna kitu naogopa kama operesheni wakati ule ilikuwa pingili ya sita na ya saba ila sasa ni ya tatu na ya nne na nilishindwa kufanyiwa operesheni kipindi hicho kwa sababu niliona nikifanyiwa operesheni itanilaza na nitapoteza muda ila kwa sasa sina jinsi,”
“Hakuna kitu naogopa kama operesheni wakati ule ilikuwa pingili ya sita na ya saba ila sasa ni ya tatu na ya nne na nilishindwa kufanyiwa operesheni kipindi hicho kwa sababu niliona nikifanyiwa operesheni itanilaza na nitapoteza muda ila kwa sasa sina jinsi,”
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia