Ticker

6/recent/ticker-posts

MAAFISA WAPYA WA JESHI KATIKA CHUO CHA KIJESHI MONDULI WATUNUKIWA KAMISHENI


 Mama Salma Kikwete akikaribishwa na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa JWTZ katika Chuo cha Kijeshi Cha Monduli, Arusha, Ijumaa Julai 13, 2013
 Baadhi ya maafisa waandamizi wa katika sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa JWTZ katika Chuo cha Kijeshi Cha Monduli, Arusha, Ijumaa Julai 13, 2013
 Maafisa katika sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa JWTZ katika Chuo cha Kijeshi Cha Monduli, Arusha, Ijumaa Julai 13, 2013
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa JWTZ katika Chuo cha Kijeshi Cha Monduli, Arusha, Ijumaa Julai 13, 2013
 Mkuu wa Chuo akimlaki Amiri Jeshi Mkuu
 Maafisa waandamizi wakimkaribisha Amiri Jeshi Mkuu
 Karibu Amiri Jeshi Mkuu
 Rais Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Shamsi Vuai Nahodha
 Amiri Jeshi Mkuu akisalimiana na Mhe Shamsi Vuai Nahodha
 Rais Kikwete akisalimiana na Luteni Jenerali Mstaafu Abdulrahman Shimbo ambaye sasa ni Balozi wa Tanzania nchini China
 Amiri Jeshi Mkuu akiwasili katika sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa JWTZ katika Chuo cha Kijeshi Cha Monduli, Arusha, Ijumaa Julai 13, 2013
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiongozana na Mama Salma Kikwete na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange kuelekea katika uwanja wa gwaride katika sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa JWTZ katika Chuo cha Kijeshi Cha Monduli, Arusha, Ijumaa Julai 13, 2013
 Amiri Jeshi Mkuu akielekea kwenye uwanja wa Gwaride
 Rais Kikwete akipungia kadamnasi ya familia na askari waliohudhuria sherehe hizo
 Amiri Jeshi Mkuu akiingia uwanjani
 Amiri Jeshi Mkuu akipokea saluti 
 Sehemu ya umati wa wananchi
 Saluti wakati wa wimbo wa Taifa
 Maafisa waandamizi wakipokea wimbo wa Taifa
 Wimbo wa Taifa
 Amiri Jeshi Mkuu akikagua gwaride la Maafisa Kadet wataotunukiwa Kamisheni
 Ukaguzi wa gwaride ukiendelea
 Bendi ya JWTZ
 Amiri Jeshi Mkuu baada ya kumaliza kukagua gwaride
 Sehemu ya wananchi
 Wananchi wa kila rika na jinsia walikuwepo
 Sehemu ingine ya umati wa wananchi
 Jukwaa kuu
 Maafisa waandamizi jukwaa kuu
 Kikosi cha bendera kikiongoza gwaride
 Maafisa waandamizi wa nchi marafiki
 Baadhi ya maafisa 
 Kikosi cha bendera kikipita mbele ya jukwaa kuu kwa ukakamavu
 Mguu juu...
 Maafisa kadeti wakionesha ukakamavu wao
 Hakikwa wameiva
 Kwata la nguvu
 Afisa kadeti kutoka visiwa vya Ushelisheli akiongoza
 Askari wasindikizaji wakipita mbele ya jukwaa kuu
 Ukakamavu na nidhamu ya hali ya juu
 Saluti kwa maafisa kadeti wapya
 Mguu sawa
 Maafisa wakipiga saluti
 Pongezi kwa mhitimu bora wa jumla Kelvin Elisha Ngondo
 Hongera mhitimu bora katika masomo nadharia Charles Biswalo Malima
 Mhitimu bora wa masomo ya vitendo Amosi Mwitarangi
 Pongezi kwa Afisa Kadeti Pool kwa kuibuka mhitimu bora toka nje ya nchi Gerald Daniel Louis Wong-Pool
 Mbawa kwa mhitimu bora wa jumla wa mafunzo ya urubani mwanamke Hadija Haruna Ibrahim
 Mbawa kwa mhitimu wa mafunzo ya urubani mwanaume Zacharia Kimaro
 Amiri Jeshi Mkuu akijiandaa kutunuku kamisheni kwa wahitimu
 Amiri Jeshi Mkuu akitunuku kamisheni kwa wahitimu
 Kiapo cha utii
 Maafisa waandamizi
 Sehemu ya maafisa waandamizi wakufunzi
 Maafisa wandamizi wa nchini na wa nje
 Baadhi ya majenerali wastaafu wakiwa jukwaa kuu
 Juklwaa kuu
 Wahitimu wakiumba umbo la Omega kukamilisha mafunzo rasmi
 Kwaya ya Bujora JKT ikitumbuiza
 Baadhi ya wanahabari wa Arusha
 Burudani ya ngoma ya Kimasai
 Amiri Jeshi Mkuu akiwa na furaha baada ya kutunuku kamisheni
 Wahitimu
 Picha na wahitimu
 Picha na wahitimu wanawake
 Picha na wahitimu wa nchi za nje
 Picha na wakufunzi
Amiri Jeshi Mkuu, Waziri Mkuu, Mkuu wa Majeshi na Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Mirisho Sarakikya wakifurahia baada ya shughuli kwisha.

Post a Comment

0 Comments