Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa nje ya jengo la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi. |
Festo Sikagonamo akiangalia kwa umakini kitanda kilichokuwa kikitumiwa na Mzee Nelson Mandela |
Washindi
wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa na
mwanahabari kutoka Reuters aliyetega camera yake nje ya nyumba ya Mzee
Nelson Mandela.
Lilian
Shirima wa TBC 1 akiwa amembeba kitukuu cha Mzee Nelson Mandela mara baada ya kutembelea nyumbani kwa
Winnie Mandela.