MSTAHIKI MEYA WA JIJI LA MWANZA NA WA MANISPAA YA ILALA WALA FUTARI YA PAMOJA JIJINI MWANZA.

20130710_192100_resized  
Mstahiki meya wa Jiji la Mwanza Mh.Stanslaus Mabula pamoja na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Mh.Jerry Silaa wakipata futari jioni ya jana pamoja na wajumbe wa kamati ya kudumu ya uchumi na huduma za jamii wa Manispaa ya Ilala ndani ya Jiji la Mwanza.
20130710_192048_resized
Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Mh.Stanslaus Mabula (wa tatu kulia) pamoja na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Mh.Jerry Silaa (wa pili kushoto) wakibadiisha mawazo na wajumbe wa kamati ya kudumu ya uchumi na huduma za jamii wa Manispaa ya Ilala ndani ya Jiji la Mwanza wakati wa futari ya pamoja chungu cha kwanza katika mwezi huu mtukufu wa Ramadan.
20130710_192017_resized
Wakinamama nao wakijinafasi upande wao.
20130710_192004_resized

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia