SIKU TBL ILIPOTOA ZAWADI KWA WAANDISHI WALIOSHINDA ZOEZI LA KUTAMBUA AINA YA KINYWAJI
![]() |
| mmoja wa mameneja wa kiwanda cha TBL Arusha wakimkabidhi mshindi Veronica Mheta |
![]() |
| Mwandishi Veronica Mheta akipokea boksi la bia aina ya Castle baada ya kuwa mshindi wa kwanza, pia alizawadiwa begi, tshirt mwavuli na boksi mbili za pia |
![]() |
| Meneja Mawasiliano wa TBL Doris akimkabidhi Tshirt na mwavuli mshindi wa kwanza wa kutambua aina ya bia Veronica mheta |
![]() |
| Mwandishi Yasinta Amon akikabidhiwa zawadi zake baada ya kuibuka mshindi wa pili |
![]() |
| Mshindi wa tatu akikabidhiwa zawadi zake ambazo ni boksi moja la bia, tshirt na mwavuli |
![]() |
| Mshindi wa tatu akifurahia zawadi |
![]() |
| Mwandishi Woinde shizza mwanablog akiwa katika pozi katika hafla hiyo, pembeni ni mwandishi wa gazeti la Upendo Tetula Bernad |
![]() |
| Mwandishi Tetula Bernad akiwa katika pozi pamoja na mwandishi mwenzake Woinde shiza huku wakiendelea kutumia vinywaji vya kampuni ya TBL |








0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia