MAAFISA WA SHIRIKA LA MAREKANI LA MISAADA (USAID) WAKIONYESHWA KILIMO CHA BUSTANI ZA MBOGA MBOGA NA MTOTO MARY PAULO WALIPOTEMBELEA MIRADI MBALIMBALI WANAYOIFADHILI

Mtoto Mary Paulo ,mwanafunzi wa Shule ya Msingi akifafanua kuhusu bustani za Mboga mboga wanazolima shuleni hapo ili kuimarisha lishe,walipotembelewa na Maafisa wa  Shirika la Marekani la kutoa misaada la Marekani  la  USAID  waliokuwa wakitazama utekelezaji wa miradi inayofadhiliwana shirika hilo inayotekelezwa na Mradi wa Pamoja tuwalee ,World Education Inc na Cente for Women and Children


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia