Tume ya Taifa ya Uchaguzi
inawatangazia wananchi wote wa Mkoa wa Njombe, kuwa itaanza zoezi la Uboreshaji
wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia teknolojia ya “Biometric Voters
Registration” kuanzia tarehe 16/03/2015
hadi tarehe 12/04/2015. Aidha
katika kata ya Utengule ya Mji mdogo wa
Makambako Uboreshaji utafanyika kuanzia
tarehe 9-15/03/2015
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
RELATED POSTS
0
Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia