TUNDUMA YAKABIDHIWA KISIMA CHA MAJI NA TBL
Mkurugenzi
wa Mamlaka ya mji wa Tunduma Aidan Mwanshiga aliyemwakilisha Mkuu wa
Wilaya ya Momba Abiud Saideya akiwa na Meneja Matukio Kampuni ya Bia
Tanzania TBL Kanda ya nyanda za juu kusini Claud Chawene wakikata utepe
kwa pamoja kuzindua kisima hicho cha Maji
|
Mkurugenzi
wa Mamlaka ya mji wa Tunduma Aidan Mwanshiga aliyemwakilisha Mkuu wa
Wilaya ya Momba Abiud Saideya akiongea na wafanyakazi wakituo cha Afya Tunduma mara baada ya kukabidhiwa kisima hicho na TBL
|
Afisa
uhusiano wa Kampuni hiyo Doris Malulu amesema kampuni ya Bia ni moja
kati ya Makampuni yanayoongoza kulipa kodi nchini na hivyo ina wajibu wa
kurudisha fadhila kwa Watanzania.
|
Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji mdogo wa Tunduma Elias Cheyo akitoa neno la shukrani kwa TBL
|
Baadhi ya wafanyakazi na wananchi wa mji wa Tunduma wakimsikiliza mgeni rasmi
|
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia