AICC YAZURU NCHINI AUSTRALIA KATIKA ZIARA YA MAFUNZO



Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Adelaide cha Jijini Adelaide nchini Australia Alec Gilbert (wa tatu kushoto), akitoa maelezo ya namna ya ujenzi na uendeshaji. Baadhiya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa AICC, Mkurugenzi Mwendeshaji na Maofisa wawili wapo nchini Australia katika ziara ya mafunzo ambapo mbali na kutembelea Kituo cha Adelaide pia watatembelea Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Melbourne kilichopo katika Jijini la Melbourne chini Australia.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia