WATENDAJI TUNZENI VYANZO VYA MAJI

MKUU wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego, amewaagiza watendaji wa vijiji, mitaa na kata kuhakikisha wanatunza na kulinda vyanzo vya maji ikiwemo miundombinu yake ili kuwepo na uhakika wa maji.
Dendegu alitoa kauli hiyo jana wakati wa ufunguzi wa semina kwa wenyeviti wa vijiji, mitaa na kata walioko jijini humo iliyoandaliwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Tanga Uwasa) iliyofanyika Mowe kwenye Kata ya Pande.
Alisema ili huduma ya maji safi na salama iweze kuwa endelevu ipo haja ya kulinda vyanzo vyake na miundombinu isiharibiwe, kwani mabalozi wa karibu ni viongozi hao sababu ndio wapo karibu na wananchi wengi.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia