BREAKING NEWS

Friday, March 28, 2014

KAMPENI CHALINZE ZAIVA


 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akilakiwa na Wananchi wakazi wa Kijiji cha Chahua,Kata ya Bwilingu leo Machi 27, 2014 wakati wa Muendelezo wa Kampeni zake za kuomba ridhaa kwa Wananchi hao ya kuwa kiongozi wao kwa Maendeleo ya Jimbo la Chalinze.Picha zote na Othman Michuzi.
 Mwanamuziki wa Muziki wa Kizazi Kipya,Hafsa Kazinja akitoa burudani huku akiwa amezungukwa na Wakinamama Wakazi wa Kijiji cha Chahua,Kata ya Bwilingu leo Machi 27, 2014 wakati wa Muendelezo wa Kampeni za CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze.

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates