KALOLENI HOSPITALI YATEMBELEWA NA WAJUMBE WA MKUTANO WA WANAWAKE NA VIJANA WA KIKRITO DUNIANI
Baadhi
ya wajumbe wa mkutano wa umoja wa wanawake vijana wa kikristo duniani
walipofanya ziara katika kituo cha afya cha Kaloleni jijini arusha
kujionea hali ya huduma kwa akina mama wajawazito na wasichana wenye
ujauzito.
Bi
Severa joseph akitoa maelezo ya aina ya dawa zinazotumika kwa akina
mama wajawazito katika kituo cha afya Kaloleni cha jijini arusha kwa
baadhi ya washiriki wa mkutano wa umoja wa wanawake vijana wa kikristo
duniani.
Dr
Anna Kimaro mganga wa zamu wa kituo cha afya Kaloleni aliyebeba faili
kwapani akiwa na wajumbe wa mkutano wa umoja wa wanawake vijana wa
kikristo duniani YWCA walipo tembelea katika kituo hicho jijini arusha.
Baadhi
ya wajumbe wa mkutano wa umoja wa wanawake vijana wa kikristo duniani
walipofanya ziara katika kituo cha afya cha Kaloleni jijini arusha
kujionea hali ya huduma kwa akina mama wajawazito na wasichana wenye
ujauzito.
Baadhi
ya wajumbe wa mkutano wa umoja wa wanawake vijana wa kikristo duniani
walipofanya ziara katika kituo cha afya cha Kaloleni jijini arusha
wakipata maelezo ya kina kutoka kwa moja ya wafanyakazi wa kituo hicho.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia