BREAKING NEWS

Monday, August 11, 2014

VILABU SABA VYA GOFU KUKUTANA TANZANIA OPEN K-VANT GIN GOLF CO-OPERATE TOURNAMENT 2014.


Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Christopher Martin  maarufu kama "Mbe"akizungumzia Mashindano ya mchezo wa Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournament 2014 yatakayofanyika Agosti 16 na 17 mwaka huu.
Meneja Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha Edmund Rutaraka akizungumzia udhamini wao katika Mashindano ya Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournam2014   ent .
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Christopher Martin  maarufu kama "Mbe"akihakiki hundi kabla ya kukabidhiwa rasmi.
Meneja Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 3.5kwa Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin  ikiwa ni sehemu ya udhamini katika Mashindano ya Gofu ya Tanzania Open K-Vant Gin Golf Co-operate Tournament 2014.   .
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin  akikabidhi hundi iliyotolewa na kampuni ya Megatrade kwa katibu wa klabu ya Gofu ya Moshi Mohamed Nkya.
Viongozi wa Kabu ya Gofo ya Moshi wakiwa katika picha ya pamoja na Staff wa kampuni ya Megatrade muda mfupi baada ya kukabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 3.5.
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin akimuonesha uwanja utakaotumika kwa mashindano hayo Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd kanda ya kaskazini ,Edmund Rutaraka

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates