Ticker

6/recent/ticker-posts

TWASIRA YA ZIARA YA RAIS WA KENYA AMBAYE NI MWENYEKITI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI UHURU KENYATA WAKATI ALIPOKUWA ANAZINDUA RASMI BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

 Rais wa kenya ambaye ni mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika mashariki Uhuru Kenyata akiwa anapanda mti nje ya jengo la ofisi ya makao makuu ya jumuiya ya afrika mashariki jana wakati alipokuwa na ziara ya sikumbili  ya kutembelea makao makuu ya jumuiya hiyo.
mkuu wa mkoa wa Arusha Magessa Mullongo akiwa na mkuu wa wilaya ya Arusha  John Mongela wakiwa wanamsubiri rais wa kenya Ambaye pia ni mwenyekiti wa bunge la jumuiya ya Afrika Mashariki Uhuru Kenyata  kuwasili katika jengo la makao makuu ya jumuiya ya Afrika mashariki
waandishi wa habari wakiwa wanamngoja mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika mashariki  kuwasili katika jengo la jumuiya ya afrika mashariki
Mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika mashariki akisalimiana na spika wa bunge la jumuiyay a Afrika mashariki Magrethi Zziwa wakati alipowasili katika viwanja vya  makao makuu ya jumuiya hiyo
 

Post a Comment

0 Comments