Ticker

6/recent/ticker-posts

KUNDI LA TIP TOP CONNECTION KUFANYA COLLABO NA RAIS WA WASAFI CLASSIC DIAMOND PLATNUMZ

 https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/Madee2.jpg

Kundi la muziki la Tip Top Connection limethibitisha kufanya collabo na rais wa Wasafi Classic, Diamond Platnumz katika wimbo uitwao ‘Kinanukaga’.
Akiongea Madee amesema kuwa kazi hiyo ambayo imekamilika kwa asilimia 80 itatoka mwezi ujao lakini kabla ya kazi hiyo kutakuwa na kazi kadhaa za utangulizi kutoka kwa members wa Tip Top Connection.
Madee ameongeza kuwa kundi hilo sasa linajikita zaidi katika kutangaza muziki wao nje ya nchi hivyo lazima wafanye kazi nzuri na za kuvutia kwa mashabiki wa muziki wao.

Post a Comment

0 Comments