Ticker

6/recent/ticker-posts

Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akifurahia jambo mara wakati akitembelea majengo ya kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia ambayo yamejengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Finland kupitia wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo chini ya shirika la UKUMBI
Katibu tawala wa mkoa a Kilimanjaro ,Martha Ufunguo akitoa salama za mkoa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Leonidas Gama wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia,mradi unaofadhiliwa na Serikali ya Finland kupitia wizara ya mambo ya nje chini ya shirika la UKUMBI
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa KWIECO,Jaji Aishiel Sumari akitoa neno la shukrani mara baada ya hotuba ya mgeni rasmi ,Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka.
Meneja wa Benki ya Azania tawi la Moshi,Hajira Mmambe akizungumza kwa niaba ya wadau wa Kwieco wakati wa sherehe hizo.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akikata utepe kuashiria kuazna kutumika kwa majengo hayo.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akifurahia jambo mara baada ya kufungua kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika kituo hicho.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akiwa katika picha ya pamoja na watoa ushauri.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka alikabidhi kitabu cha "Politics of Gender "kwa mkurugenzi wa Kwieco ,Elizabeth Minde.
Maeneo mbalimbali ya kituo hicho.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Post a Comment

0 Comments