BREKING NEWS:MKE WA MFANYABIASHARA AFARIKI DUNIA MARA BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA

Mke wa mmiliki wa Hotel ya Aquiline Hotel iliyopo Arusha maeneo ya Stend, amefariki hapo hapo yeye na wifi yake baada ya kupata ajali mbaya ya gari maeneo ya kikatiti.
Watu waliofika eneo la tukio wanasema walikupa chupa za pombe aina ya konyagi ndani ya gari wakati wanawanasua.
RAI:
(1).Kifo cha mwanadamu ni wakati wowote, yafaa tuishi maisha ya kujiandaa na maisha baada ya kufa.
(2).Tuepuke tabia ya kuendesha magari tungali tumelewa au tumechoka.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia