Ticker

6/recent/ticker-posts

MTAMBUE MSANII WA BONGO FLEVA ANAEJUA KUPIGIALIA PAMBA KULIKO WOTE


Jux ndie Msanii anaeongoza kwenye uvaaji wa Brand kali maarufu na zinampendeza, wapo wengi ambao wanavaa vizuri lakini Jux kwa Tanzania ni namba moja ukitaka kujua hilo jaribu kufatilia kwa makini utapata jibu. Hizi ni baadhi ya Picha zikimuonesha Jux katika muonekano tofauti tofauti.




Post a Comment

0 Comments