Ticker

6/recent/ticker-posts

TASWIRA YA NAPE ALIVYOANZISHA AMSHA AMSHA YA MIAKA 38 YA CCM MJINI SONGEA

 Wananchi wakiwa katika shamrashamra za kumpokea Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye  kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Ruvuma mjini Songea, alipowasili kwa ajili ya kuanzisha amsha amsha ya Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM ambayo inafanyika Jumapili hii, Kitaifa mjini Songea kwa kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
 Mratibu wa Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM, Emaanuel John Nchimbi akiwasili kwenye Ofisi hiyo ya CCM mkoa wa Ruvuma  kumpokea Nape
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili  mjini Songea
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili  mjini Songea
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili  mjini Songea

 Mwanamke akihanikiza kwa vigelegele kumshangilia Napa wakati wakipita kwenye moja ya mitaa maarufu ya mjini Songea wakati akienda kufungua matawi ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara
 Kina Mama wakimshangilia Nape wakati akipita kwenye mita hiyo
 Nape akiwashukuru wananchi waliokuwa wakimshangilia wakati wakipita kwenye mitaa hiyo
 Baadhi ya viongozi wakimsubiri kumlaki Nape kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Songea mjini
 Nape akisalimiana na viongozi kwenye Ofisi hiyo ya CCM wilaya ya Songe mjini
 Nape akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya CCM Songea mjini

Post a Comment

0 Comments