KAIMU MKUU WA MKOA WA ARUSHA JOWIKA KASUNGA AKUTANA NA MWENYEKITI WA TATO WILLY CHAMBULO


Afisa Mtendaji wa Chama cha Wafanyabiashara ,Wakulima na wenye viwanda
(TCCIA) Arusha ,Sia Charles akifafanua jambo katika Semina ya biashara kati
ya India na Tanzania iliyofanyika jijini Arusha hivi karibuni. Semina
imeandaliwana Kamisheni hiyo pamoja na Chama cha Wafanyabishara ,na
wakulima na wenye Viwanda Arusha  ( TCCIA )
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Jowika Kasunga akisalimiana na Mwenyekiti wa
Chama cha Waongoza Watalii nchini  (TATO)  Willy Chambulo  katika Semina ya
biashara kati ya India na Tanzania iliyofanyika jijini Arusha hivi
karibuni. Semina imeandaliwana Kamisheni hiyo pamoja na Chama cha
Wafanyabishara ,na wakulima na wenye Viwanda Arusha  ( TCCIA ) 
 

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia