MSANII WA KIKE WA FILAMU AJIVUNIA KUPIMA UKIMWI NA KUKUTA HANA MAAMBUKIZI

Msanii
wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ amejikuta akivuja jasho la
furaha baada ya kupima Ukimwi na kujikuta yupo salama.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni maeneo ya Sinza Palestina ambapo Recho alienda kupima katika Hospitali ya Amen iliyopo Sinza ambapo kabla hajapata majibu hayo alikuwa akihaha huku na kule kutokana na wasiwasi.
Baada ya vipimo hivyo, Recho alipewa majibu yaliyoonesha kuwa yupo salama kitu ambacho kilimsababisha acheke na kuwataka wenye wivu wajinyonge.
“Namshukuru Mungu kwa sababu nimejikuta mzima baada ya kupima UKIMWI, Mwenye wivu na maisha yangu ajinyonge tu,” alisema Recho.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni maeneo ya Sinza Palestina ambapo Recho alienda kupima katika Hospitali ya Amen iliyopo Sinza ambapo kabla hajapata majibu hayo alikuwa akihaha huku na kule kutokana na wasiwasi.
Baada ya vipimo hivyo, Recho alipewa majibu yaliyoonesha kuwa yupo salama kitu ambacho kilimsababisha acheke na kuwataka wenye wivu wajinyonge.
“Namshukuru Mungu kwa sababu nimejikuta mzima baada ya kupima UKIMWI, Mwenye wivu na maisha yangu ajinyonge tu,” alisema Recho.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia