Ticker

6/recent/ticker-posts

COPA COCA COLA 2013 ARUSHA YAICHAKAZA KAGERA 3-0

 Beki wa timu ya Kirimanjaro Jamens Geofrey (katikati) akiwatoka wachezaji wa  mbeya Yusuf Honroli (kushoto) na  Jackson Mwaibambe katika mechi ya fainali za Copa Coca-Cola Taifa kwenye Uwanja wa Karume leo. Kilimanjaro walishinda 1-0.
Mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Selemani Mwalimu akiwania mpira na mshambuliaji wa Mbeya Hamfrey Nyeo  katika mechi ya fainali za Copa Coca-Cola Taifa kwenye Uwanja wa Karume leo. Kilimanjaro walishinda 1-0. 
 Beki wa timu ya Mbeya Emmanuel Ntindi (kulia) akipiga hesabu za kumtoka mchezaji wa  Kilimanjaro James Geofrey katika mechi ya fainali za Copa Coca-Cola Taifa kwenye Uwanja wa Karume leo. Kilimanjaro walishinda 1-0. 
Mshambuliaji  wa  timu Mbeya Yusuf  Honroli  (kushoto) akimtoka beki wa Kilimanjaro Simon Soka  katika mechi ya fainali za Copa Coca-Cola Taifa kwenye Uwanja wa Karume leo. Kilimanjaro walishinda 1-0.

 Kiungo wa  timu ya Mbeya Emmanuel Ernest ( katikati) akitoa pasi huku walinzi wa Kilimanjaro Bernld Temba (kulia) na  James Geofrey wakijiandaa kumzuia katika mechi ya fainali za Copa Coca-Cola Taifa kwenye Uwanja wa Karume leo. Kilimanjaro walishinda 1-0.

Post a Comment

0 Comments