WANANCHI WA HAYDOM WAELEZWA UMUIMU WA KUJIUNGA NA UFUKO WA HIFADHI YA JAMII PPF





Meneja wa mfuko wa hifadhi ya jamii (PPF) Kanda ya kaskazini, Onesmo Ruhasha akizungumza na wakazi wa Tarafa ya Haydom Wilayani Mbulu, Mkoani Manyara, kuhusu umuhimu wa kujiunga na mfuko huo katika tamasha la utamaduni lililoandaliwa na kituo cha pembe nne za utamaduni Haydom (H4CCP).

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia