Ticker

6/recent/ticker-posts

UZINDUZI WA MASHINDANO YA UMISETA COPA COCA COLA WAFANA MBEYA

 Mkuu wa Mkoa Amos Makalla akipiga mpira kuashiria uzinduzi wa mashindano hayo mkoani humo
 Mkuu wa Mkoa Amos Makalla akigagua moja ya timu
 Wanafunzi kutoka shule mbalimbali walihudhuria
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla akihutubia wadau wa michezo na wanafunzi wakati wa Uzinduzi wa mashindano ua UMISSETA ambayo mwaka huu yamedhaminiwa na kampuni ya Coca Cola.Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa Sokoine ambapo kulifanyika michezo mbalimbali na burudani za kila aina zilikuwepo.

Burudani za muziki pia zilikuwepo


Post a Comment

0 Comments