MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI AGAWA MASHUKA NA MAGODORO KWA SHULE YA SEKONDARI ILIOUNGUA MOTO

 Picha ikionyesha mbunge wa Arumeru mashariki kupitia tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Joshua Nasari akiwa anagawa mablangeti, mashuka na mgodoro katika shule ya sekondari usa river baada ya ma bweni tisa kuungua na kusababishia shule hiyo hasara milioni 25

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia