Ticker

6/recent/ticker-posts

TPRI YATOA ONYO KWA WANANCHI




NA WOINDE SHIZZA, ARUSHA.

TAASISI YA UKAGUZI NA UTHIBITI WA VIWATILIFU TPRI IMETOA ONYO KWA WANANCHI, KUWA MAKINI NA MATUMIZI YA VYANDARUA VILIVYO INGIA NCHINI KUTOKA NJE YA NCHI,  HUKU VIKIWA NA ALAMA YA UWEPO WA DAWA YA KUUA MBU LAKINI HAVINA MAELEZO YA KULINDA AFYA ZA WATUMIAJI  NA HAVIMO KWENYE ORODHA YA MSAJILI WA VIUATILIFU.

MSAJILI WA VIUATILIFU  DK ELIKANA LEKEI AMETOA KAULI HIYO ALIPOKUWA ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUFUATILIA SHEHENA YA VYANDARUA HIVYO KUINGIZWA NCHINI, HUKU VIKIWA HAVINA MAELEZO YA TPRI HUKU AKIONESHA BAADHI YA VYANDARUA  HIVYO.

KWA UPANDE WAO WAZALISHAJI WA VYANDARUA WAMESEMA HALI HIYO INATOKANA NA VYANDARUA VYA NJE KUINGIZWA NCHINI BILA USHURU NA KWAMBA IMEATHIRI VIWANDA VYA NDANI NA KULAZIMIKA KUPUNGUZA ZAIDI YA WAFANYAKAZI ELFU MBILI.

Post a Comment

0 Comments