BEN POL AAMUA KUFUNGUKA KUHUSIANA NA SOPHIA

Ben Pol
Star wa muziki wa R&B hapa Bongo, Ben Pol ametoa ya moyoni kuwa kwa namna flani, ngoma yake mpya ya SOPHIA ni rekodi ambayo ameifanya maalum kwaajili ya mtu wake wa karibu sana.

Pol amesema kuwa mambo yakifanikiwa kuwa rasmi atamuweka wazi kwa watanzania ili wajue.
Ben ambaye katika ngoma hii ndani yake pia ameelezea uzuri wa mji wa Dodoma ambapo ndipo anapotokea, amesema kuwa ana imani mambo yatakuwa vizuri hapo baadaye kwaajili ya kumleta mwanadada huyo mbele ya mashabiki zake, ikiwa sasa mambo yao yanaendelea chini ya kapeti t

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia