Ticker

6/recent/ticker-posts

KAMANDA WA KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI MOHAMMED MPINGA AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA WILAYANI KOROGWE LEO

 
 wa kwanza kushoto ni  Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga  akibadilishana mawazo na RTO wa mkoa wa Tanga  Sp Issango  pamoja  na Oc Traffic wa korogwe INSpector Nyalifa wakati alipotembelea mkoa huo leo na kukutana na waendesha boda boda wa  wilaya ya Korogwe  katika kikao kilichoandaliwa na jeshi la polisi kwa kushirikiana na Sumatra .
waendesha boda boda wa wilayani korogwe wakiwa wanamsikiliza kwa makini kamanda mpinga

Post a Comment

0 Comments