
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la ‘Chamber Squad’, Moses
Bushagama ‘Mez B’, amefariki dunia leo asubuhi huko Mkoani Dodoma baada
ya kusumbuliwa na Homa ya mapafu kwa muda mrefu.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
X
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia