MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA MOSES BUSHANGAMA "MEZ B"AFARIKI DUNIA LEO

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la ‘Chamber Squad’, Moses Bushagama ‘Mez B’, amefariki dunia leo asubuhi huko Mkoani Dodoma baada ya kusumbuliwa na Homa ya mapafu kwa muda mrefu.

Post a Comment

0 Comments