MENGI YAIBULIWA LEO KATIKA MAFUNZO YA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA WAANDISHI WA HABARI NA WATOA HUDUMA MWANZA
BAADHI
ya Waandishi wa Habari na Watoa huduma mkoani Mwanza wamekutanishwa katika
Mafunzo ya kuzuia vitendo vya ukatili wa kijinsia yanayotolewa na Shirika
lisilo la kiserikali la kutetea haki za Wanawake na Watoto la KIVULINI.
Mafunzo
hayo yanatolewa kipindi hiki ambapo Mikoa ya kanda ya Ziwa inatajwa kuongoza
nchini kwa vitendo vya Ukatili hususani wa kijinsia. (BOFYA PLAY KUMSIKILIZA)

0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia