![]() |
Timu ya Utafiti kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Mara,Mh.John Tupa(mwenye koti jeusi)wakati wa timu hiyo ilipokua kwenye mkoa huo. |
![]() |
Mtaalamu wa habari wa EAC na Mratibu wa utafiti wa uelewa wa wananchi juu Jumuiya ya Afrika Mashariki,Sukhdev Chatbar akijibu maswali ya waandishi wa habai jijini Mwanza. |
![]() |
Afisa Uhamiaji kwenye kituo cha Sirari mkoani Mara,Ewald Mushi akiinesha timu ya utafiti jiwe la mpaka wa Tanzania na Kenya |
![]() |
Timu ya Utafiti wakifurahia jambo |
![]() |
Afisa habari wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Antony Ishengoma akiwapa maelezo wafanyabiashara wa Soko Kuu la mjini Dodoma manufaa ya jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) |
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia