MAKANISA YA EAGT, YAPATA PIGO BAAADA YA ASKOFU MKUU MOSES KOLOLA KUFARIKI DUNIA

 

http://strictlygospel.files.wordpress.com/2008/07/kulola.jpg

Taarifa zilizo tufikia na kuthibitishwa na Rev. Daniel Kulola ambaye ni mtoto wa Askofu Moses Kulola, Zinasema Askofu Moses Kulola amefariki dunia.

Taarifa hizo zinadai kuwa askofu huyo wa kanisa la EAGT alifariki dunia wakati alipokuwa anapata matibabu katika moja ya hospitali iliopo jijini dar es salaam ambapo alikuwa amelazwa kwa muda wa wiki moja

 Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.

 mungua ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Amina


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia