VIONGOZI CHADEMA WAKIPATA MAAKULI


MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akiwa pamoja na baadhi ya viongozi, wanachama na wapenzi wa chama hicho wakipata chakula cha mchana kwa kutafuna samaki wadogo waitwao 'Njuju', kando ya kivuko cha Mto Kilombero, walipokuwa njiani kutoka kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kijiji cha Kivukoni, Kata ya Minepa, wakisubiri kuvuka kwenda mkutano mwingine wa kampeni Kata ya Ifakara, mkoani Morogoro.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia