WANAFUNZI UDOM WAMTAKA LOWASA AGOMBEE URAIS 2015
Wawakilishi wa wanafunzi hao wapatao 40,juzi jioni
walimtembelea kiongozi huyo nyumbani kwake maeneo ya Area C mjini hapa
na kula naye chakula cha usiku, huku wakimueleza kuwa wapo tayari
kumpigia debe, kumchangia fedha za kuchukua fomu pamoja na kuwashawishi
vijana wenzao kwamba Lowassa ndiye kiongozi anayefaa kwa sasa.Hafla hiyo
pia illihudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanafunzi hao.

0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia